ABIRIA WATESEKA ZAIDI YA SAA 6 BILA MSAADA‏ KIBAMBA, DAR

Posted by Posted by Unknown On 11:49



Abiria waliokuwa wanaelekea mkoani Mwanza kutoka Dar na gari la Princes Shabaha jana walikwama kwa saa sita baada ya basi hilo
lenye namba za usajili T105 AVX  kuharibika maeneo ya Kibamba jijini Dar es Salam na kusababisha usumbufu miongoni mwa abiria hao.
 Abiria wakiwa eneo lilipoharibika basi hilo pasipo kujua hatima yao.

0 comments

Post a Comment