MWANDISHI WA MAREKANI AKATWA KICHWA


 
Mwandishi wa habari wa Marekani aliyekatwa kichwa, James Wright Foley (kushoto), akiwa amevishwa kanzu maalum.
 
Kabla ya kuuawa kwake, Foley, aliwataka marafiki, wanafamilia wake na wapenzi wake wote kupambana na “wauaji wangu wa kweli” ambao ni serikali ya Marekani.
 
Foley akiwa na muuaji wake ambaye alisema kitendo cha kumwadhibu mwandishi huyo ni kulipiza kisasi mashambulizi ya ndege za Marekani nchini Iraq.
 
Muuaji wa Foley akijitayarisha kumkata kichwa.
Foley enzi za uhai wake hadi alipopotea Novemba 2012, baada ya kutekwa huko Taftanaz, kaskazini mwa Syria.
 
Mama yake Foley, Diana, na baba yake John, wakiwa katika mkesha kanisani kuwataka wapiganaji wa ISIS kuwaachia mateka wao.
Kikosi cha Kiislam cha kijeshi chenye msimamo mkali kimeachilia video inayoonyesha mauaji ya mwandishi wa habari mwenye asili ya Marekani, James Foley, aliyepotea tangu alipokamatwa mateka na kushikiliwa nchini Syria miaka miwili iliyopita na sasa ameuawa.
Ikulu ya Marekani imesema inaifanyia uchunguzi wa kina video hiyo na ikithibitika kwamba mwandishi huyo wa habari ni wa taifa hilo, serikali ya Marekani itataka ufafanuzi wa kina ilikuaje na kwa nini James Foley auawe.
                                             Posted byMr.Prime on August 20, 2014

RAIS KIKWETE NA MAMA SALMA KIKWETE WATOA POLE KWENYE MSIBA WA MAREHEMU JAJI MAKAME


Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiweha saini katika kitabu cha maombolezo alipokwenda kutoa pole nyumbani kwa

MWENYEKITI WA CCM RAIS KIKWETE AONGOZA KIKAO CHA KAMATI KUU YA HALMASHAURI KUU YA CCM TAIFA DODOMA


 
Mwenyekiti wa CCM Taifa ,Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba Mhe Samwel Sitta, alipowasili kuongoza kikao cha Kamati Kuu ya

MENINAH: NAOGOPA MAPENZI YATAVURUGA MUZIKI WANGU


 
Mwimbaji wa Bongo Flava aliyewahi kuwa mshiriki wa BSS, Meninah Ladivah akifanya mahojiano katika kipindi cha Hatua Tatu leo.

NICKI MINAJ AACHIA ANACONDA


                                    
RAPPA, mwimbaji, mtunzi wa nyimbo na mwigizaji kutoka Marekani aliye chini ya lebo ya Young Money Entertainment, Onika Tanya Maraj 'Nicki Minaj' leo ameachia rasmi video ya

AY WAKALA WA GODFATHER EAST AFRICA


Mwanamuziki Ambwene Yesaya 'AY'.
MKALI wa Bongo Fleva nchini Tanzania, Ambwene Yesaya 'AY' anayetamba kwa kibao chake cha

AJALI YAUA 16 NA KUJERUHI 75 TABORA


WATU 16 wamepoteza maisha huku 75 wakijeruhiwa baada ya basi la

DEVOTA AWAKUMBUKA MZEE SMALL, KUAMBIANA


                              
Stori: Rhoda Josiah
WAKATI wasanii mbalimbali wakijumuika pamoja katika kisomo cha kuwakumbuka

AUNTY LULU AKUBALI YAISHE!


                                             
Stori: Gladness Mallya
BAADA ya kuachwa na mpenzi wake wa siku nyingi Bond, ambaye kwa sasa anadaiwa kuwa na uhusiano wa kimapenzi na

MAWIFI WAITIKISA NDOA YA CATHY


                                   
Stori: Gladness Mallya
NDOA ya msanii mkongwe wa filamu Bongo, Sabrina Rupia ‘Cathy’ ipo katika mtikisiko mkubwa kufuatia

AISHA BUI: KUSHINDA MAISHA UWE MKAKAMAVU


                                         
Stori: Mwandishi Wetu
MWIGIZAJI wa filamu anayekuja juu nchini, Aisha Bui, amesema ili kuyashinda maisha magumu Bongo, ni lazima uwe

WATOTO WAMKUMBUSHA UYATIMA NISHA


                                        
Stori: Rhoda Josiah
MWANADADA anayefanya vizuri katika kiwanda cha filamu Bongo, Salma Jabu ‘Nisha’ amesema

ORIGINO KOMEDI WAMWAGWA!


                                           
Stori: Mwandishi Wetu
KUNDI maarufu la vichekesho ambalo kwa sasa ni kama halipo, limepata pigo kubwa baada ya

LIVE! MSANII WA BONGO FLEVA ANASWA NA MACHANGU


                                                     
Stori: Muandishi Wetu
WAKATI wasanii wakitakiwa kuwa mstari wa mbele katika kuenzi maadili mema kwa jamii ya Kitanzania, mambo yamekuwa kinyume, baada ya nyota wa muziki wa kizazi kipya

MNIGERIA AMPATIA MASOGANGE PASIPOTI YA SAUZI


                                           
Stori: Sifael Paul na Imelda Mtema
Habari ya mjini kwenye ulimwengu wa mastaa Bongo ni taarifa kuwa video queen maarufu, Agness Gerald ‘Masogange’ amepatiwa passport (pasipoti) ya kuishi

MWANAMKE KABLA YA NDOA, ANATAKIWA AWE ‘AMETOKA’ NA WANAUME WANGAPI?


                                

UTENGENEZWAJI WA VIDEO YA NICKI MINAJ ‘ANACONDA’


 
Rapa bora wa kike, Onika Tanya Maraj 'Nicki Minaj' akiwa katika pozi tata na Aubrey Drake Graham 'Drake' wakiwa katika utengenezaji wa video ya wimbo wake ‘Anaconda’.
Nicki Minaj anaendelea kuvuta umakini wa watu kuisubiria kwa hamu video ya wimbo wake ‘Anaconda’ ikiwa ni siku kadhaa baada ya kutoa kipande cha video kinachoonesha utengenezaji wake.
Jana August 18, 2014 Nicki ameshare picha nyingine za video hiyo inayomuonesha yeye akiwa amekaa katika mtindo wa mitego tata mbele ya Drake aliyekaa kwenye kiti.
Anaconda ni wimbo mpya unaotoka kwenye albam ya ‘The Pink Print’ na rapper huyo wa Young Money anatarajiwa kuuimba Live wakati wa utoaji wa MTV Video Music Awards, Jumapili, August 24.
                                   Posted by Mr,Prime on August 20, 2014

BODI YA MIKOPO YA WANAFUNZI YATOA MCHAKATO KWA KIPINDI CHA 2014/15


 
Ofisa Habari wa Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa  Elimu  ya Juu,  Veneranda Malima (kulia) akiwa na  Mkurugenzi Msaidizi wa Habari Elimu na Mawasiliano,  Cosmas Mwaisobwa, na Ofisa Habari wa Idara ya Habari,  Maelezo ,Zamaradi Kawawa, kwenye mkutano na waandishi wa habari..

FAINALI MISS TEMEKE 2014 KUFANYIKA AGOSTI 22


Vimwana wa Miss Temeke 2014 wakiwa kwenye pozi la pamoja ikiwa ni sehemu ya maandalizi yao ya

MASTAA BONGO WALIOKUWA MARAFIKI KABLA YA USUPASTAA


 
Nando na Godzillah.
NANDO NA GODZILAH hawa wawili walimaliza kidato cha sita darasa moja, wakichukua ‘combination’ moja ya HKL na wakicheza pamoja kabumbu la shule. Darasani, madawati yao yalikuwa kwenye kona mbili za darasa.
 
Lord eyes na G-nako.
Kuimba, mpira na maisha ya kwenye televisheni yamekuja tu kutokana na juhudi binafsi. Mpaka leo hawa ni washkaji wa nguvu, wafuate kwenye mitandao ya kijamii ujionee. Godzila anapatikana katika FACEBOOK King Zillah na twitter @King_Zillah....Arme Nando @Ammy Nando kwenye facebook na @Nandouraccount twitter.
MPOKI NA JOTI, hawa nao hawaachani. Tokea enzi zile za mchezo wa Fukuto ulioonyeshwa kwenye runinga kipindi cha  maigizo yalipoanza kushamiri. Hawa ni haki yao kuwa matajiri wa leo, kwani urafiki wao na kazi zao zimekubaliwa na kuzidi kukubalika kutokana na uhusiano mzuri wa kirafiki uliopo baina yao. Wafuatilie kwenye kurasa zao za kijamii FACEBOOK, TWITTER @
 
Mpoki na Joti.
MZEE ONYANGO NA MZEE MWITA, hawa wakongwe wa sanaa ya maigizo, ‘story’ tulizokuwa nazo ni kuwa waliishi pamoja  maeneo ya Kawe jijini Dar, kabla umaarufu haujawakuta.
JAFFARHYMES na JAY MOH, hata ‘collabo’ zao zinaonyesha  urafiki baina yao ambapo ‘walishaskuli’ pamoja na wote walishachangia katika ukuaji wa sanaa hapa nchini, ingawa sasa wamepotea kwa sababu ya binafsi.
LORD EYES NA G-NAKO, miamba kutoka Kaskazini waliowahi kupoteana na kukutana, hatimaye kuzalishwa kwa kundi la Hip Hop ambalo hadi sasa bado linatamba.

NGWEA, NOORAH, DARK MASTER na MEZ B walisoma wote Dodoma na kuunda kundi moja toka pande hizo lililokimbiza sana mwanzoni mwa karne ya ishirini na moja.
 
Rich one, Chidi Benz,Solo Thang na Mh. Temba.
MH. TEMBA kutoka ‘kiumeni’ amesoma shule na Solo Thang, Rich one, Chidi Benz, Soggy Doggy, marehemu Kanumba na Dazz Baba katika shule ya Sekondari ya Jitegemee iliyoko Temeke, Dar es Salaam.
Baadhi ya wachezaji waliowahi kusoma wote Shule ya Sekondari Makongo ni pamoja na Juma Kaseja, Mussa Mgosi, Nico Nyagawa, Jerry Tegete, Haruna Moshi, Yahaya Akilimali, Kandole Justine, Aaron Nyanda, Ali Mayai, Muhaji Kampala, Mohamed Banka, Adam Matunga, Jemedary Said, Majuto Komu, Aman Simba, Ngawina Ngawina.
                                                  Posted by Mr.Prime on August 20, 2014

video-entry

featured-content

Blogger Tips and TricksLatest Tips For BloggersBlogger Tricks

featured-content

featured-content

featured-content